• Login
  • Help Guide
View Item 
  •   JOOUST IR Home
  • Journal Articles
  • School of Education, Humanities & Social Sciences
  • View Item
  •   JOOUST IR Home
  • Journal Articles
  • School of Education, Humanities & Social Sciences
  • View Item
JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

Kiswahili katika Kufundishia TEHAMA katika shule za msingi nchini Tanzania: Umuhimu na changamoto zake

Thumbnail
View/Open
Adika.pdf (310.5Kb)
Publication Date
2015
Author
Kevogo, Stanley K.
Type
Article
Metadata
Show full item record
Abstract/Overview

Ulimwengu wa sasa wa utandawazi umesababisha kuzagaa kwa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), hususani kompyuta na vitumi vyake. Kwa hali hiyo, maendeleo ya sayansi na teknolojia yamesababisha kuenea kwa lugha zinazotumika kwa wingi katika teknolojia hiyo kama vile Kiingereza na Kifaransa na kudumazwa kwa lugha za Kiafrika zinazotumiwa kwa nadra mno. Uwezo wa kutumia media na vitumi vipya vya teknolojia hii kwa ubunifu na uhakiki aghalabu hutegemea umilisi wake. Umilisi wa kidijitali nao ni zao la mafunzo kupitia lugha zoefu ambayo humpa mwanafunzi fursa ya kushiriki kikamilifu. Makala hii ni sehemu ya matokeo ya uchunguzi mdogo uliofanywa katika mikoa ya kusini mwa Tanzania kuonesha ufaafu wa Kiswahili kama lugha rasmi ya kufundishia somo la TEHAMA katika shule za msingi. Matumizi ya Kiswahili kufundishia stadi za msingi za TEHAMA ni hatua ya mwanzo kuelekea kwenye matumizi ya lugha ya Kiswahili kutolea mafunzo ya kiufundi. Aidha, tunatathmini manufaa na changamoto zinazokabili matumizi ya Kiswahili kama lugha ya TEHAMA.

Permalink
http://ir.jooust.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/2992
Collections
  • School of Education, Humanities & Social Sciences [366]

Browse

All of JOOUST IRCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

My Account

LoginRegister

Statistics

View Usage Statistics

Contact Us

Copyright © 2023-4 Jaramogi Oginga Odinga University of Science and Technology (JOOUST)
P.O. Box 210 - 40601
Bondo – Kenya

Useful Links

  • Report a problem with the content
  • Accessibility Policy
  • Deaccession/Takedown Policy

TwitterFacebookYouTubeInstagram

  • University Policies
  • Access to Information
  • JOOUST Quality Statement