• Login
  • Help Guide
View Item 
  •   JOOUST IR Home
  • Journal Articles
  • School of Education, Humanities & Social Sciences
  • View Item
  •   JOOUST IR Home
  • Journal Articles
  • School of Education, Humanities & Social Sciences
  • View Item
JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

Udhihirikaji wa Itikadi za Kisiasa Katika Midahalo ya Siasa za Uchaguzi wa 2022 Nchini Kenya Kupitia Jukwaa la Youtube

Thumbnail
View/Open
Asige_ Udhihirikaji wa Itikadi za Kisiasa Katika Midahalo ya Siasa za Uchaguzi wa 2022 Nchini Kenya Kupitia Jukwaa la Youtube.pdf (408.2Kb)
Publication Date
2025-01
Author
Asige, Aboge Nelson
Miruka, Frida
Jagero, Akinyi Juliet
Type
Article
Metadata
Show full item record
Citation

Aboge, N. A., Miruka, F. & Akinyi, J. J.(2025). Udhihirikaji wa Itikadi za Kisiasa Katika Midahalo ya Siasa za Uchaguzi wa 2022 Nchini Kenya Kupitia Jukwaa la Youtube.East African Journal of Swahili Studies, 8(1), 17-31. https://doi.org/10.37284/jammk.8.1.2576

Abstract/Overview

Makala hii inalenga kudhihirisha kuwa itikadi ni dhana ya kimsingi na haina budi kuibuka kila wakati mwanasiasa anapozungumza wakati wa kampeni akiwa na nia ya kujielekezea mamlaka. Itikadi inayoibuka kutoka kwenye hotuba, midahalo na mitafaruko ya kiuneni kati ya wanasiasa nyakati za kampeni za kisiasa ndizo huelekeza mienendo, maoni, mitazamo, Imani, fikra na mifumo ya mawazo ya wananchi wapigaji kura kiasi cha kuathiri uamuzi wao wa kiongozi wanaomtaka katika uchaguzi. Ni katika hali hii ndipo mwanasiasa fulani hupendelewa zaidi ya mwengine, ikizingatiwa kuwa itikadi ya mmoja imeridhisha ikilinganishwa na ya mwengine.Katika mkabala huo, makala hii ina nia ya kudhihirisha itikadi mbalimbali za kisiasa zilizoibuka kutokana na midahalo ya siasa za 2022 nchini Kenya kama zilivyojitokeza katika jukwaa la youtube. Kupitia midahalo tajwa, makala hii inatarajia kuthibitisha kuwa itikadi ndiyo dira inayoelekeza kupendwa au kuchukizwa kwa sera za wanasiasa, na hivyo kuathiri uchaguzi na matokeo yake.

Subject/Keywords
Itikadi; Mamlaka; Midahalo; Uchaguzi; Siasa; Mkabala; Mchakato
Publisher
East African Journal of Swahili Studies
ISSN
2707-3467 (P); 2707-3475 (O)
Permalink
http://ir.jooust.ac.ke/handle/123456789/14822
Collections
  • School of Education, Humanities & Social Sciences [363]

Browse

All of JOOUST IRCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

My Account

LoginRegister

Statistics

View Usage Statistics

Contact Us

Copyright © 2023-4 Jaramogi Oginga Odinga University of Science and Technology (JOOUST)
P.O. Box 210 - 40601
Bondo – Kenya

Useful Links

  • Report a problem with the content
  • Accessibility Policy
  • Deaccession/Takedown Policy

TwitterFacebookYouTubeInstagram

  • University Policies
  • Access to Information
  • JOOUST Quality Statement